• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

MKURUGENZI GUMBO AMEKATAA KUPOKEA MADAWATI YALIYO TENGENEZWA CHINI YA KIWANGO, MWALUSHU SHULE YA MSINGI

Posted on: November 10th, 2021

Na. harunataratibu82@gmail.com

Kamati ya Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima(CMT) ikiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Bi. Elizabeth Gumbo imekataa kuyapokea madawati yaliyo tengenezwa chini ya kiwango wakati ikikagua Mradi wa vyumba viwili vya Madarasa katika Shule ya Msingi Mwalushu.

Kamati hiyo haikuridhishwa na Maendeleo ya utekelezaj Miradi katika Shule hiyo kutokana na kuonekana kuwa na dosari hususani Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa ambapo madawati yake, yalionekana kutengenezwa chini ya kiwango na kwa kutumia mbao mbichi na zenye makovu mengi.

Mkurugenzi Mtendaji Bi. Elizabeth Gumbo alisema.

" Narudia kusema tena na tena, msicheze na pesa za Serikali, zitawapeleka pabaya, mbona wenzenu wametengeneza vizuri na wengine wapo Vijiji vya mbali, nyie shida IPO wapi? sasa basi haya madawati Siyataki na mkatengeneze Mengine yenye vigezo vinavyo takiwa"

Aidha Bi. Gumbo alimuagiza Mwalimu mkuu kuhakikisha ujenzi wa Mradi wa choo unaendelea haraka na ndani ya wiki mbili kuwe na Mabadiliko na Miundombinu yote ya choo isimame na shimo la Maji taka liendelee kuchimbwa.

Shule ya Msingi Mwalushu Ilipokea kiasi chaTsh. Milioni 53/=  kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa na Ofisi na ujenzi wa Choo Cha Matundu 12..


Matangazo

  • ITILIMA YAPOKEA KIASI CHA SH. BILIONI 3.117 KUTOKA SERIKALI KUU KATIKA KIPINDI CHA JULAI - OKTOBA 2021 KWA AJILI SHUGHULI ZA MAENDELEO October 23, 2021
  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • MPANGO NA BAJETI ULIOIDHINISHWA KWA MWAKA WA FEDHA 2020/2021 KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA ITILIMA November 13, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA WILAYA YA ITILIMA December 16, 2020
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • ITILIMA IMEPOKEA BILIONI 46.3 UTEKELEZAJI MIRADI YA MAENDELEO , MWAKA MMOJA WA RAIS SAMIA

    March 29, 2022
  • ITILIMA YAPONGEZWA KUTAMBUA MCHANGO WA WALIMU, VONGOZI, WADAU KATIKA KUKUZA ELIMU

    March 11, 2022
  • ITILIMA MMEMTHIBITISHIA KWA VITENDO MHE. RAIS, HAKUTAKUWA NA CHAGUO LA PILI KWA WATOTO WA KIDATO CHA KWANZA, MHE. DUGANGE

    December 22, 2021
  • MBUNGE WA JIMBO LA ITILIMA AKABIDHI MKOPO WA PIKIPIKI TANO KWA KIKUNDI CHA VIJANA WA BODABODA CHA NDING'HO

    December 17, 2021
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa