• MMM |
    • Barua Pepe |
    • Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
Itilima District Council
Itilima District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Sisi ni nani?
    • Dira na Dhamira
    • Taarifa ya Halmashauri
  • Utawala
    • Idara
      • Rasilimali watu
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mipango
      • Afya
      • Mifugo
      • Kilimo
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ardhi na Maliasili
      • Maji
      • Fedha na Biashara
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Ugavi
      • Sheria
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
    • Muundo
  • Huduma Zetu
    • Vibali vya Ujenzi
    • Leseni za Biashara
    • Umilikaji wa Ardhi
  • Machapisho
    • Sheria
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Hotuba
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba Video
    • Habari
    • Matukio
  • Miradi
    • Miradi inayofadhiliwa na Wahisani
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea na Ujenzi
    • Maandiko ya Miradi
  • Zabuni
  • Uwekezaji
  • FFARS LINK

ITILIMA MMEMTHIBITISHIA KWA VITENDO MHE. RAIS, HAKUTAKUWA NA CHAGUO LA PILI KWA WATOTO WA KIDATO CHA KWANZA, MHE. DUGANGE

Posted on: December 22nd, 2021

Na. harunataratibu82@gmail.com

Naibu waziri Ofisi ya Rais Tamisemi - Afya Mhe. Festo Dugange ameupongeza Uongozi wa Wilaya ya Itilima kwa utekelezaji Mradi wa vyumba vya Madarasa uliozingatia viwango na ubora na thamani ya Fedha kuonekana

Akikagua Mradi wa vyumba viwili vya Madarasa katika Shule ya Sekondari Idoselo Mhe. Dugange alisema

"Hakika mmezitendea haki fedha za Mpango wa Taifa wa Maendeleo na Mapambano dhidi ya Uviko 19" na hili itakua mme mthibitishia kwa vitendo Mhe. Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan ya kwamba Itilima hamtakuwa na chaguo la pili kwa watoto wetu wanaotarajiwa kuanza kidato cha kwanza hapo mwakani"

Kwa hatua mliyofikia ya asilimia 90 ya ujenzi wa Madarasa Wilaya Mzima nauhakika mpaka tarehe 30/12/2021 mtakua mmekamilisha kwa asilimia 100, alisema Mhe. Dugange.

Akielezea changamoto iliojitokeza wakati wa utekelezaji wa Miradi hii Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mhe. Faidha Suleiman Salim alisema

" Mhe. Naibu waziri tulipokea fedha za Miradi hii tukiwa tunaelekea katika kipindi Cha kilimo na kutokana na Mazingira yetu vyombo vya usafiri ni matrekta na kipindi hiki yalikuwa mashambani, tukajikuta tupo katika changamoto ya kufikisha vifaa vya ujenzi katika maeneo husika.

Akijibu ombi la Mbunge wa Jimbo la Itilima Mhe. Njalu D. Silanga la kuomba kupatiwa usafiri kwa matumizi ya Idara ya Ujenzi Mhe. Dugange alisema kuwa kabla ya mwezi Mei, 2022 Itilima itapokea magari mawili Moja ni gari la kubebea wagonjwa na lingine litatumika kwa ajili ya ufuatiliaji wa Miradi.

Sanjari na hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima Bi. Elizabeth Gumbo alimuomba Mhe. Naibu waziri kuendelea kuangalia Itilima kwani bado inachangamoto katika sekta ya Afya hususana uchache wa vituo vya kutokea huduma ya Afya na uchache wa Watumishi kwa kada ya Afya halikadharika uchache wa miundombinu kwa Shule za msingi.

Itilima Ilipokea fedha za Mpango wa Taifa wa Maendeleo na Mapambano dhidi ya Uviko 19 kiasi cha Tsh. BILIONI 1.64 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya Madarasa 78 kwa Shule za Sekondari na vyumba vinne vya Madarasa ya shule shikizi na ukamilishaji wa Miradi hii itawezesha wanafunzi 4806 kuanza kidato cha kwanza kwa pamoja hapo januari, 2022.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA WILAYANI ITILIMA October 30, 2021
  • Tangazo Kwa Watumishi Wapya Wanao endelea kuwasili Wilayani Itilima July 03, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, Wafanyakazi tuungane katika makaribis July 07, 2022
  • "Tutaukaribisha Mwenge wa Uhuru Wilayani Itilima tarehe 9/7/2022 tutaupokea katika Viwanja vya Ushirika, Nyamalapa na mkesha utakuwa katika viwanja vya Halmashuri ya Wilaya ya Itilima Wananchi wote, tuungane katika kuukaribisha Mwenge July 06, 2022
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • SERIKALI YAITENGEA ITILIMA BILIONI 2.37 KUTEGENEZA KM. 238.88 ZA BARABARA NA KM.1 YA LAMI MAKAO MAKUU YA WILAYA

    February 18, 2023
  • NAIBU WAZIRI OR - TAMISEMI ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI YA AFYA ITILIMA

    January 17, 2023
  • MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA ITILIMA

    December 14, 2022
  • ITILIMA YAWEKEWA MALENGO KUZALISHA TANI 130,000 ZA PAMBA MSIMU HUU WA KILIMO

    November 28, 2022
  • Angalia Zote

Video

BARAZA LA MADIWANI LA MADIWANI LA WILAYAYA ITILIMA LAUFUNGA MWAKA WA FEDHA WA 2020 - 2021
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Business License
  • Procedure for Provision of Buliding Permit
  • Land Ownership

Tovuti Mashuhuri

  • Simiyu Regional Commissioner's Office
  • President's Official Website
  • Local Government Revenue Collections Dashboard
  • Tovuti ya TAMISEMI
  • Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
  • Salary Slip Self Service
  • FFARS LINK
  • Mfumo wa Vibali vya Kusafiri Nje ya Nchi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Location Map

Wasiliana Nasi

    DED - ITILIMA

    Sanduku la Posta: 308 BARIADI

    Simu: +255 28 29 863 29

    Simu: 028 29 863 28

    Barua Pepe: info@itilimadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani
    • Huduma

Hatimiliki ©2016 Kitengo cha TEHAMA. Haki Zote Zimehifadhiwa